Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Mkuuu nakuomba tafadhali usirudie kuidhalilisha pombeeeee.Pombe ukinywa kupitiliza kila siku huharibu kizazi kwa mwanaume tena shukuru Mungu kama kifanyio kinafanya kazi wengine huwa kinapalalaizi kabisa
Hivi nyie hupotoshaji huuu mnauleta hapa bahati mbaya au maksudi? Hivi baaa zinavyojaza wanaume kila siku mimba ngezitoa wapi kama pombe ni tatizo?Mnatafta mtoto huku mnakunywa pombe Kali huko hata ka ungeshika mimba huyo mtoto angepata matatizo. Kunywa pombe si sifa zaid ya kuharibu afya na mwili.
Sasa ni kwamba inaweza kutibika au ndo basi?
Utazaa tu usijali mungu atakusaidia jaribu kwenda kuchekiwa na mwenz wako
Jaribu Tiba asilia wewe na mwenzi wako mtumie dawa naimani kichanga kitaonekana. Ukishindwa tuwasiliane kama upo karibu na Mwanza ntakusaidia wewe na mwenzi wakowish ingekuwa nafasi yangu nataman sana kupata mtoto any way Mimi sio mtaalam ila nenda na mwenzi wako hospital kama iki fail plz ni Pm tuone tunasaidiana vip