Msaada: nataka kuwa agent wa kuuza bia za jumla

Msaada: nataka kuwa agent wa kuuza bia za jumla

Wizzo

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
723
Reaction score
256
Jamani nifanyaje? Nataka niwe agent wa TBL huku arusha ila kuna mtu kanambia lazima niweze kununua kreti 1500 ndo ntapewa hio kazi. Lakini mi uwezo wangu ni kreti 200,je nifanyaje ili nifanikishe hii kazi. Naombeni msaada mwenye kuweza kunisaidia nifanye hii biashara.nimekaa nyimbani ajira hakuna nadhani hii inanifaa
 
Usichoke kusubiri mkuu. Ukiona kimya ujue bado wahusika wa moja kwa moja bado hawajaiona thread yako.
Endelea kugaa gaa na upwa wali mkavu sio dili.
 
Back
Top Bottom