iron woman
Senior Member
- Apr 22, 2013
- 147
- 19
Habari zenu wadau,
Naomba mnisaidie. Nimewahi kusikia kuwa kuna uwezekano wa kuweka meno ya bandia yakawekewa vyuma yanakuwa siyo ya kutoka tena na ni imara. Naombeni mnijuze, Je hicho kitu ni kweli na kama ndiyo, hiyo huduma inapatikana vizuri hospital gani? Pia mkinisaidia na bei itakuwa vizuri.
Natanguliza shukrani zangu.
Asanteni.
Naomba mnisaidie. Nimewahi kusikia kuwa kuna uwezekano wa kuweka meno ya bandia yakawekewa vyuma yanakuwa siyo ya kutoka tena na ni imara. Naombeni mnijuze, Je hicho kitu ni kweli na kama ndiyo, hiyo huduma inapatikana vizuri hospital gani? Pia mkinisaidia na bei itakuwa vizuri.
Natanguliza shukrani zangu.
Asanteni.