jamani huu mwaka takribani wa tano kichwa changu kinawasha, nimejaribu kumeza dozi ya mwezi(vidonge 30) bila nafuu, nimepaka mafuta ya asili lkn wapi! Km kuna mtu anajua dawa anisaidie kunitajia.
jamani huu mwaka takribani wa tano kichwa changu kinawasha, nimejaribu kumeza dozi ya mwezi(vidonge 30) bila nafuu, nimepaka mafuta ya asili lkn wapi! Km kuna mtu anajua dawa anisaidie kunitajia.
Made from Malawi? ..........??????????????????????????Paka Vaida kwenye ngoz ya kichwa,made from Malawi.