MSAADA NATESEKA:MWILI KUCHOMACHOMA JOTO LA MWILI LIKIPANDA

MSAADA NATESEKA:MWILI KUCHOMACHOMA JOTO LA MWILI LIKIPANDA

ANKO JEI

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
1,302
Reaction score
2,462
Habari wakuu poleni na majukumu,naomba niende kwenye maada moja kwa moja.

Kwa muda mrefu nimekua nikisumbuliwa na mwili kuchomachoma hasa kuanzia kwenye ngozi ya kichwa mpaka kifuani na mgongoni,na hii hali hutokea joto la mwili likipanda,naweza kua juani,muda nafanya zoezi au kazi yeyote itayosababisha joto kupanda bhasi mwili huanza kuchomachoma,mwanzo ilikua kawaida ila kuanzia mwezi uliopita vimekua vikichoma kwa wingi sana na vinauma sana na nakosa raha ya kutembea kabisa..Naombeni msaada ndugu zangu
 
Hii hali hata mimi huwa inanipata!

Madokta waje watusaidie tujue ABC's!
 
Labda uwweke wazi kama ulipima VVU na upo fresh kabla hawajaja
Habari wakuu poleni na majukumu,naomba niende kwenye maada moja kwa moja.

Kwa muda mrefu nimekua nikisumbuliwa na mwili kuchomachoma hasa kuanzia kwenye ngozi ya kichwa mpaka kifuani na mgongoni,na hii hali hutokea joto la mwili likipanda,naweza kua juani,muda nafanya zoezi au kazi yeyote itayosababisha joto kupanda bhasi mwili huanza kuchomachoma,mwanzo ilikua kawaida ila kuanzia mwezi uliopita vimekua vikichoma kwa wingi sana na vinauma sana na nakosa raha ya kutembea kabisa..Naombeni msaada ndugu zangu
 
Jisugue vizuri wakati wa kuoga huo ni uchafu tu. Tumia sabuni maalumu za kuogea, usiogee sabuni za kufulia.
 
Asante kwa ushauri lakini hilo ni swala nalifanya sana mkuu.
Jisugue vizuri wakati wa kuoga huo ni uchafu tu. Tumia sabuni maalumu za kuogea, usiogee sabuni za kufulia.
 
ni uchawi mpya unaitwa chawa njoo dm umalize limenipata 2020 na 2021 kuna watu wanakuloga
 
Back
Top Bottom