Phoenix Bird
Member
- Jan 27, 2014
- 8
- 3
Wana jukwaa nikwamba nina hali ya kutokwa jasho jingi nikifanya zoezi.
Yaani kulowa jasho kawaida. Wakati mwingine hata ninapokula natokwa jasho. Je tatizo ni nini na linaishaje?
Maana nakunywa Maji ya kutosha mpaka lita 2 kwa siku.
Yaani kulowa jasho kawaida. Wakati mwingine hata ninapokula natokwa jasho. Je tatizo ni nini na linaishaje?
Maana nakunywa Maji ya kutosha mpaka lita 2 kwa siku.