☪
SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE ☪
HORMONE IMBALANCE ( KUVURUGIKA/KUTOKUA SAWA KWA HOMONI)
👉 Hili ni tatizo linalowakumba wanawake wengi sana ambalo husababishwa na kiwango kidoga cha homoni ya ESTROGEN
🍀
SABABU ZA KUVURUGIKA HOMON🍀
👉Utoaji mimba
👉Kuwa na sumu mwilini
👉Mabadiliko ya hali ya hewa
👉Kutokula mlo kamili au mwenendo mbovu wa maisha
👉Uzito mkubwa
👉Athar za kemikali
👉Matumiz ya kisasa ya uzaz wa mpango
🌱
DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMON 🌱
👉Maumivu wakat wa tendo la ndoa
👉Mzunguuko wa hedhi kubadilika
👉Kutoshika ujauzito
👉Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
👉Kuongezeka uzito na kutoa maziwa Hali ya kua haunyonyeshi na hauna kachanga
👉Kupoteza kumbukumbu
👉Damu kutoka nyingi wakat wahedhi au kutoa damu yenye mabonge mabonge
👉Uke kuwa mkavu au kukosa ute wa uzazi
👉Maumivu chini ya kitovu wakat wa hedhi
👉Allerg ya kuchagua chakula au kuona dalili kama mama mjamzito nk.
⚡
MADHARA YA KUTOBALANCE KWA HORMONE ⚡
👉Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
👉Mimba kuharbika mara kwa mara
👉Kuwa mgumba
👉Uvimbe kwenye via vya uzazi vya mwanamke, ovary sisytem ama fibroids
👉Kuziba kwa mirija ya uzazi
👉Kukosa hedhi
👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉Kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au hedhi mfululizo
👉Saratan ya kizazi
Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
+255656303019
~Chief Sang'ida
Natokwa na maziwa kwa miaka sasa, tena maziwa mengi. Bahati mbaya nikajishika nyonyo yanaruka.
Hata (babe) akinyonya nyonyo ananyonya maziwa maana yanatoka tu!
Ni kawaida au ni ugonjwa niende hospitali?
Siku zinavyozidi kwenda naona yanazidi kutoka mengi!