Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Ahsante sana nduguPole ndugu, kwa muonekano wa huo mshono wa operesheni sidhani kama kuna shida kubwa inawezekana ni chunusi iliyokuwa karibu tu na huo mshono.
USHAURI: Endelea kupafatilia kwa karibu ndani ya siku 2 kama tatizo litaendelea nenda kituo cha afya kwa uchunguzi na matibabu.
SawaNenda hospitali wakapaangilie, huenda kuna kiuzi kinasumbua.
Nashukuru mkuu [emoji1] [emoji1] [emoji1] nitanyoa usijaliSidhani kama ni hatari huwenda ni kipele cha kawaida pole sana mkuu (Kumbuka kunyoa pia)
Exactly ila nimemwelewa mkuuUmewasilisha kwa busara kiongozi ni sawa kujibiwa kibsara pia, huyo anayesema unyoe nimchokozi tu...