Jsam1995 New Member Joined Nov 7, 2021 Posts 3 Reaction score 0 Nov 11, 2021 #1 Jamani wazima nashida naombeni msaada wenu natokwa na vipele vikavu kwenye mapaja na matakoni na miguuni tatizo ni nn?
Jamani wazima nashida naombeni msaada wenu natokwa na vipele vikavu kwenye mapaja na matakoni na miguuni tatizo ni nn?
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,229 Reaction score 50,144 Nov 11, 2021 #2 Nenda hospital ukacheki
aise JF-Expert Member Joined May 16, 2018 Posts 5,175 Reaction score 16,488 Nov 11, 2021 #3 Eti mapajani na matakoni, mbona umeandika uzi mkavu mkuu, huogopi kutaja matako! Wakikwambia weka picha?
Eti mapajani na matakoni, mbona umeandika uzi mkavu mkuu, huogopi kutaja matako! Wakikwambia weka picha?
Jsam1995 New Member Joined Nov 7, 2021 Posts 3 Reaction score 0 Nov 11, 2021 Thread starter #4 aise said: Eti mapajani na matakoni, mbona umeandika uzi mkavu mkuu, huogopi kutaja matako! Wakikwambia weka picha? Click to expand... Waelewa wataelewa maana nikiwashwa najikuna then upele unatoka na unaendelea kuwasha
aise said: Eti mapajani na matakoni, mbona umeandika uzi mkavu mkuu, huogopi kutaja matako! Wakikwambia weka picha? Click to expand... Waelewa wataelewa maana nikiwashwa najikuna then upele unatoka na unaendelea kuwasha
LOLA70 JF-Expert Member Joined Dec 18, 2020 Posts 430 Reaction score 512 Nov 11, 2021 #5 Kafanye medical checkup
Kuchwizzy JF-Expert Member Joined Oct 1, 2019 Posts 1,193 Reaction score 2,599 Nov 11, 2021 #6 Bro.... Kua sasa Hayo maswali ni ya kumuuliza Doctor ukiwa hospitali au kituo cha afya kilicho karibu yako
Bro.... Kua sasa Hayo maswali ni ya kumuuliza Doctor ukiwa hospitali au kituo cha afya kilicho karibu yako
dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 23,901 Reaction score 58,103 Nov 11, 2021 #7 kapicha