Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 564
Wakuu mi ninatatizo moja,yani naweza kukaa ofisini jasho likajaa kwenye kwapa shati lote linalowa kwenye kwapa,na kuhusu nywele za kwapani najithd kuziondoa kila mara,sasa kama kuna mtu anjua hili tatizo na dawa yake anisaidie kwa sababu hii hali naichukia kabisa,nawasilisha