Msaada naumwa jamani!!!

Msaada naumwa jamani!!!

Gelevaheke

Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
77
Reaction score
5
Ninatatizo ambalo kama wiki lina nisumbua yani tumbo linajaa gesi na linapandisha hadi presha mapigo ya moyo yanakwenda kasi kwa mda msaada
 
Pole sana mkuu, fanya hii rahisi. Nenda supermarket au dula la kawaida nunua majani ya chai yameandikwa CAMOMILE weka kwenye kikombe within 10minutes tuletee majibu
 
Pole sana mkuu, fanya hii rahisi. Nenda supermarket au dula la kawaida nunua majani ya chai yameandikwa CAMOMILE weka kwenye kikombe within 10minutes tuletee majibu
nikisha weka kwenye kikombe kinachofuata
 
Pole sana mkuu, fanya hii rahisi. Nenda supermarket au dula la kawaida nunua majani ya chai yameandikwa CAMOMILE weka kwenye kikombe within 10minutes tuletee majibu
Chamonile inakaa kwenye kikombe dakika 10 mtu anapona gas, moyo kwenda mbio etc, acha fix!
 
Ninatatizo ambalo kama wiki lina nisumbua yani tumbo linajaa gesi na linapandisha hadi presha mapigo ya moyo yanakwenda kasi kwa mda msaada

Apples.jpg
 
Back
Top Bottom