Msaada: Nawashwa navimba uso na shingoni

usiogope kawaida,ila mbuzi na kiti moto kama vina kudhuru pia acha,ila naw anza kupiga maji ya kutosha yaani umfunuke hadi Ray,asubuhi utaamka poa tuu
Asante mkuu na ubarikiwe kwa ushauri, Ha ha haaa...maji kama Ray
 
Hae je unamuda gan hujapima minyooo? Au kutumia dawa za minyooo?
Kama unamuda mrefu jarbu fuatlia swala hilo kama ushaul wa wenzangu umemaliza
Juzi tu nimekunywa dawa za minyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…