Poleni na majukumu ya kazi naomba kuhuliza swali? Nina mke wangu nilie zaa nae mtoto mmoja baada ya kuzaa tulienda kupandikiza kijiti lakin baada ya muda tukaona tunahitaji mtoto wa pili lakini ule muda kupandikiza kijiti bado haujaisha. Je? Naweza kwenda kukitoa ili nipate mtoto kabla ya huo muda kufika nisaidieni.
ndio kinatolewa tu, .... Ila siku nyingine muwe mnachagua njia ambayo mtaweza kuitumia vizuri, sio mtu anachagua kijiti cha miaka mitano af baada ya mwaka na nusu anataka kitolewe