willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,071
- 1,303
Mambo yamenifika shingoni wakubwa tunaosoma chuo bila mkopo ni shida tupu.
Nimeamua kuweka vyeti vyangu bond kwa mtu atakae nisaidia laki saba nilipe chuo ili niweze kufanya mtihan ulioanza leo hii. 13/08/2018
1. Cheti cha form 4
2. Certificate ICT
3. Diploma in computer science
4. Jamaan naongeza na laptop yangu wakubwa
Asanteni ikiwezekana leo leo
Nimeamua kuweka vyeti vyangu bond kwa mtu atakae nisaidia laki saba nilipe chuo ili niweze kufanya mtihan ulioanza leo hii. 13/08/2018
1. Cheti cha form 4
2. Certificate ICT
3. Diploma in computer science
4. Jamaan naongeza na laptop yangu wakubwa
Asanteni ikiwezekana leo leo