Msaada naweka bond vyeti vyangu kwa laki saba

willy ze great

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,071
Reaction score
1,303
Mambo yamenifika shingoni wakubwa tunaosoma chuo bila mkopo ni shida tupu.
Nimeamua kuweka vyeti vyangu bond kwa mtu atakae nisaidia laki saba nilipe chuo ili niweze kufanya mtihan ulioanza leo hii. 13/08/2018
1. Cheti cha form 4
2. Certificate ICT
3. Diploma in computer science
4. Jamaan naongeza na laptop yangu wakubwa
Asanteni ikiwezekana leo leo
 
Mwenzio ahahitaji msaada, kama huna ni vyema kukaa kimya kuliko kuonyesha dhihaka.
Mkuu tuna ugonjwa mbaya sana humu wa kudharau shida za wenzetu..... humu kuna watu unaweza usiamini kama ni watz wenzetu.... au inawezeekana hawajawahi kupata shida maishani mwao.... Binafsi sina hizo laki7 lakini ningekuwa nazo hata certificates zake nisingezihitaji kwa bond!
 
Weka bondi demu wako nakupa hela fasta sasa hayo makaratasi yatanisaidia nini wakati yana jina lako
 
Vyeti sio property. Ulipe usilipe haviwezi kumsaidia mtu mwingine. Tafuta mali inayoweza badilishika umiliki kuwa ya mtu mwingine, then njoo PM
 
Weka bondi demu wako nakupa hela fasta sasa hayo makaratasi yatanisaidia nini wakati yana jina lako
Sasa mkuu maana ya bond iko wap kumbuka hio ni ndo dhamana yangu yaani nikipata pesa nakurudishia na wewe utanipa vyetu vyangu
 
Kile cheti chako cha diploma upper second class ulichokuja kukinadi hapa kwa mbwembwe na dharau kibao "et magufuri kasema chuoni tunaenda vipanga tu" leo unataka kukiweka bond? Sasa mbona vipanga tu mlioenda chuo hamjapewa mkopo?
 
Unajua bro kuna some circumstances mtu kama hujawahi ku experience ni ngumu sana kufeel na kuelewa mtu anapoizungumzia, kusoma kwa kujilipia au kusomesha mtu chuo kikuu kikuu ni changamoto kubwa sana. Me nimesomesha wadogo zangu watatu chuo kikuu wote kwa wakati mmja, naelewa sana changamoto zake, kuna ups&down nyingi sana, there is a time one has to postpone mitihani ya mwisho sbb imekosekana ada ya kulipia . Uskate tamaa ndugu, hali hii inakujenga sana na utafanikiwa sana.
 
Inasikitisha mkuu.
 
Matako yako!kuna watu mnatafuta kuchafuliana siku mapema mapema,kama huna si ukaushe?mwenzako ana shida we unaleta masikhara?unaijua shida wewe?
Kwani wewe huna matako ? Itakuwa hapo ulipo umekalia kichwa ndiyo ukaweza kukomenti hivi
 
Msaada wakubwa
Upo wapi? Weka specification za laptop
Na utafute dhamana nyingine tofauti na vyeti maana vyeti ni risk sana ikitokea majanga ya kuibiwa, kuungua moto utampa mtihani aliekukopesha
 
Upo wapi? Weka specification za laptop
Na utafute dhamana nyingine tofauti na vyeti maana vyeti ni risk sana ikitokea majanga ya kuibiwa, kuungua moto utampa mtihani aliekukopesha
Nipo dar mkuu laptop ina 2 gb ram , hdd 500gb dual core nilinunua mpya kabisa 500000
 
Tatizo ni moja, ungekuwa unaweka namba ya simu moja kwa moja pale juu, ili mtu akihitaji kukusaidia basi akusaidie bila wewe kujua ID anayotumia humu, hivi inakua kazi mana kwa serikali hii wakosoaji wanatafutwa kwa kila mbinu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…