Msaada: Naweza kupata wapi documents kama barua nilizofuta mwezi uliopita kwenye simu

Msaada: Naweza kupata wapi documents kama barua nilizofuta mwezi uliopita kwenye simu

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Wataalamu naombeni msaada Kumbe nilifuta barua ya muhimu sana.

Sina utaalamu sana kwenye simu. Vitu ninavyodelete sijui hata vinaenda wapi?

Barua inahitajika sasa halafu haipo kwenye simu. Nilitumiwa WhatsApp
😭😭😭😭
 
Ulifuta chat zote au ulibadili simu uka download Whatsapp app upya?? Kama hvo basi jaribu kufanya back up kwa email ilokuwepo, ila kama haukua unafanya back up either daily weekly or blah blah, then sorry
 
Wataalamu naombeni msaada Kumbe nilifuta barua ya muhimu sana.

Sina utaalamu sana kwenye simu. Vitu ninavyodelete sijui hata vinaenda wapi?

Barua inahitajika sasa halafu haipo kwenye simu. Nilitumiwa WhatsApp
😭😭😭😭
Nenda kwenye recycle bin utaipata huko
 
Alinitumia huko
Fungua WhatsApp,nenda kwenye setting,fungua chats,fungua backup angalia kama Kuna email yoyote ambayo iliwekwa kwa ajili ya kufanya back up..utaiona kama ipo hiyo email.
Tuanzie hapo kwanza
 
Alinitumia huko
Pole.
Umejaribu App ya recovery files kule Google?
Inakupa hadi files ulizopoteza miaka 10 nyuma?
kuna App nyingi ila hiyo nayo ipo.
Ilishawahi nisaidiaga kipindi fulani.
Sasa sijajua kwa sasa kama ipo manaa App zimekuwa nyingi mno.
 
Pole.
Umejaribu App ya recovery files kule Google?
Inakupa hadi files ulizopoteza miaka 10 nyuma?
kuna App nyingi ila hiyo nayo ipo.
Ilishawahi nisaidiaga kipindi fulani.
Sasa sijajua kwa sasa kama ipo manaa App zimekuwa nyingi mno.
Asante madam ngoja niitafute chap
 
Fungua WhatsApp,nenda kwenye setting,fungua chats,fungua backup angalia kama Kuna email yoyote ambayo iliwekwa kwa ajili ya kufanya back up..utaiona kama ipo hiyo email.
Tuanzie hapo kwanza
Asante ngoja nione
 
Pole hope wataalamu hapo juu watakua wamesaidia
 
Back
Top Bottom