father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 971
- 1,117
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hujaelewa uzi mkuuHauwezi kublock namba ambayo iko deleted, ili kublock namba whatsapp inabidi iijue namba. So ondoa block kisha futa namba kwenye simu
kakujibu vizuri tuNaona hujaelewa uzi mkuu
awkeykakujibu vizuri tu
namna blocking inavyofanya kazi (hata kwa normal Calls & SMS) ni kwamba
inbounds zote za blocked number zinafika kwenye whatsapp yako kama kawaida, ila tu whatsapp inazi ignore na kutozipeleka kwenye Chat List kama namba ipo kwenye blacklist,
kuifuta namba kwenye blacklist ili usiione ni sawa umeipeleka hiyo namba kwenye whitelist
Sidhani kama umeelewaawkey
🤣🤣🤣🤣Eti owkey 🤭 kijana wa hovyo kabisa..anazuga kaelewa🥴Sidhani kama umeelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti owkey [emoji2960] kijana wa hovyo kabisa..anazuga kaelewa[emoji3061]
🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio. Ukiwa darasana hapo kama teacher unasema bado.
Inabidi urudie
Anaonekana ni kijana mwenye hasira hasira na kisirani.🤣🤣🤣🤣Eti owkey 🤭 kijana wa hovyo kabisa..anazuga kaelewa🥴
Umenichekesha mkuu.🤣🤣🤣🤣Eti owkey 🤭 kijana wa hovyo kabisa..anazuga kaelewa🥴
🤣🤣🤣Nilijua tu🙌Umenichekesha mkuu.
Halafu ni kweli sikuelewa ila nimesema tu owkey sbb hata ningeeleweshwa zaidi sidhani kama ningeelewa😬
Lipa madeni ya Watu kwani hata Ukiwabloku WhatsApp bado watakuja Kwako Kukudai mbele ya Mkeo na Wanao.
Ni mama yako huyo kua na adabu kijana.Acha wenge na wewe kisa umeona pisi yangu To yeye iko around😬😬
Lazima ufike🤣🤣🤣😘😘😘😘😊 Yaan sifa zote hizo nisipofika kileleni bas nimerogwa🤒
KabisaLazima ufike
Gentaah😬.Lipa madeni ya Watu kwani hata Ukiwabloku WhatsApp bado watakuja Kwako Kukudai mbele ya Mkeo na Wanao.