Msaada: Nawezaje kukata TIKETI ya basi mtandaoni?

Msaada: Nawezaje kukata TIKETI ya basi mtandaoni?

Inategemea unatumia njia au mtandao gani?

Mfano kwa buses kama Shabiby na BM Coach unaweza kukata kwa website zao official na ukalipa kwa mpesa au tigo pesa.
 
#ndugu umenijibu


#ni app moja tu ndio inatoa hiyo huduma au kuna zingine na kama zipo ni zipi??
Kwa kona za ticket online mm najua hiyo na moja inaitwa nilipe app. Ottap niliwahi kufanya nao kazi kabla hawajaingi kwenye ticket za mabasi. Hawa wanaendesha pia huduma ya ticket kwenye shoo za watubaki na untalented mliman City.

Ila industry hiyo sijui kama imechangamka sana sana. Ila najua hao ottap wana wapinzani wao huko kwenye usafiri, kwenye event mpinzani wao ni nilipe app. Na wanaendesha huduma ya kuskani ticket zao kwenye vituo vya mabas na mawakala wapo kabisa wanatumia mashine.

Wapinzani wa ottap huko kwenye usafir huo sijajua kina nani ila wapo
 
Kwa kona za ticket online mm najua hiyo na moja inaitwa nilipe app. Ottap niliwahi kufanya nao kazi kabla hawajaingi kwenye ticket za mabasi. Hawa wanaendesha pia huduma ya ticket kwenye shoo za watubaki na untalented mliman City.

Ila industry hiyo sijui kama imechangamka sana sana. Ila najua hao ottap wana wapinzani wao huko kwenye usafiri, kwenye event mpinzani wao ni nilipe app. Na wanaendesha huduma ya kuskani ticket zao kwenye vituo vya mabas na mawakala wapo kabisa wanatumia mashine.

Wapinzani wa ottap huko kwenye usafir huo sijajua kina nani ila wapo
#aah!sawa ndugu
 
#nimejari kutafuta TIKETI mtandaoni lakini nimeshindwa
Kwa kona za ticket online mm najua hiyo na moja inaitwa nilipe app. Ottap niliwahi kufanya nao kazi kabla hawajaingi kwenye ticket za mabasi. Hawa wanaendesha pia huduma ya ticket kwenye shoo za watubaki na untalented mliman City.

Ila industry hiyo sijui kama imechangamka sana sana. Ila najua hao ottap wana wapinzani wao huko kwenye usafiri, kwenye event mpinzani wao ni nilipe app. Na wanaendesha huduma ya kuskani ticket zao kwenye vituo vya mabas na mawakala wapo kabisa wanatumia mashine.

Wapinzani wa ottap huko kwenye usafir huo sijajua kina nani ila wapo
#nimejari ku download app ya ottap nimeshindwa kuitumia kwa sababu inataka niwe na akaunti na hakuna sehemu inayo niruhusu kufungua akaunti.
 

Attachments

  • Screenshot_20240923-105443.png
    Screenshot_20240923-105443.png
    198.7 KB · Views: 11
#nataka kusafiri kesho kutwa (j5) kutoka DAR - MWANZA naomba msaada wa kupata TIKETI kwa bei chini ya 70000- basi zuri ambalo sio VIP wala VVIP
 
Kwa kona za ticket online mm najua hiyo na moja inaitwa nilipe app. Ottap niliwahi kufanya nao kazi kabla hawajaingi kwenye ticket za mabasi. Hawa wanaendesha pia huduma ya ticket kwenye shoo za watubaki na untalented mliman City.

Ila industry hiyo sijui kama imechangamka sana sana. Ila najua hao ottap wana wapinzani wao huko kwenye usafiri, kwenye event mpinzani wao ni nilipe app. Na wanaendesha huduma ya kuskani ticket zao kwenye vituo vya mabas na mawakala wapo kabisa wanatumia mashine.

Wapinzani wa ottap huko kwenye usafir huo sijajua kina nani ila wapo
#nimejaribu kuangalia tiketi kwenye ottap lakini sijaona gari yenye bei 70000 au chini ya apo. Nawezaje kupata
 
Kumbe watu hawajui? Hakuna site nzuri ya kukata ticket ya mabasi kama BusBora ingia site yao hapa Home | Online Bus Ticket Booking Destination in Tanzania | Busbora na pia wana app yao Play Store na App Store.
habari za leo wadau,

Nawezaje kukata TIKETI ya basi mtandaoni???

Na vipi kuhusu usalama wa malipo ya kifedha?

#mkuje jamani wenye uwelewa na hili??

Tumia app moja inaitwa ottap

Inategemea unatumia njia au mtandao gani?

Mfano kwa buses kama Shabiby na BM Coach unaweza kukata kwa website zao official na ukalipa kwa mpesa au tigo pesa.

#nikitumia ndio inakuaje??

Si unatka kukata ticketi y basi kupitia mtandao au? Tumia app hiyo ndo huduma wanazotoa

#ndugu umenijibu


#ni app moja tu ndio inatoa hiyo huduma au kuna zingine na kama zipo ni zipi??

#nataka nitumie njia ya online kupata TIKETI kutoka dar-mwanza

Kweli kabisa afu ukisha kata ticket unaletewa control number ambayo utatumia kulipia

nadhan ukiingia google utapata utaratibu na namna ya kukata tiketi

Kwa kona za ticket online mm najua hiyo na moja inaitwa nilipe app. Ottap niliwahi kufanya nao kazi kabla hawajaingi kwenye ticket za mabasi. Hawa wanaendesha pia huduma ya ticket kwenye shoo za watubaki na untalented mliman City.

Ila industry hiyo sijui kama imechangamka sana sana. Ila najua hao ottap wana wapinzani wao huko kwenye usafiri, kwenye event mpinzani wao ni nilipe app. Na wanaendesha huduma ya kuskani ticket zao kwenye vituo vya mabas na mawakala wapo kabisa wanatumia mashine.

Wapinzani wa ottap huko kwenye usafir huo sijajua kina nani ila wapo

#aah!sawa ndugu

#kwenye kampani ipi??
Au ndio nizitafute huko Google??

#nimejari kutafuta TIKETI mtandaoni lakini nimeshindwa

#nimejari ku download app ya ottap nimeshindwa kuitumia kwa sababu inataka niwe na akaunti na hakuna sehemu inayo niruhusu kufungua akaunti.

#nataka kusafiri kesho kutwa (j5) kutoka DAR - MWANZA naomba msaada wa kupata TIKETI kwa bei chini ya 70000- basi zuri ambalo sio VIP wala VVIP

#nimejaribu kuangalia tiketi kwenye ottap lakini sijaona gari yenye bei 70000 au chini ya apo. Nawezaje kupata

Msaada wangu kaka umeishia hapo. Sina kipya mzee wangu
 
habari za leo wadau,

Nawezaje kukata TIKETI ya basi mtandaoni???

Na vipi kuhusu usalama wa malipo ya kifedha?
Ingia google
Andika jina la bus husika
Angalia huduma utakayo
Chagua kukata ticket
Usalama ni asilimia 100
Mfano wa BM coach

 
Back
Top Bottom