Yeah... Serious kabisaMkuu upo serious?
Yeah... Pia kama unaweza kuchukua za mwingine chukuaMaana Yako nifanye masturbation?
Umejaribu snapchat?Habarini wakuu, nilianza kusumbuliwa na chunusi Toka nikiwa form one 2009, chunusi zikaisha 2018 lakini baada ya hapo nimebaki na mabaka usoni hadi kupiga picha naogopa.
Nilikuja hapa nikapewa ushauri na dada flani Hivi nitumie Young forever, nilifanya hivyo lakini sikupata matokeo mazuri.
Naomba msaada wenu kwa anayefahamu njia nzuri ya kuondoa mabaka, Mimi ni mwanaume kwahyo isiwe cream.
Nasubiri positively comments
Asante sana kwa ushauri mkuuMdogo wangu aliwahi kukumbwa na tatizo kama lako, alishauriwa na Mzee mmoja atumie matunda kwa wingi ,maziwa fresh walau glass moja kwa siku na maji ya kunywa ya kutosha mabaka yalipotea pole pole hadi ngozi ikawa sawa japo ilichukua miezi kadhaa.
Sehemu kubwa ya mlo wake ilikuwa ni mchanganyiko wa matunda ,maziwa na maji ya kunywa kwa wingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!Naomba msaada wenu kwa anayefahamu njia nzuri ya kuondoa mabaka, Mimi ni mwanaume