Mhmm sizan kama ipo ngoja mafund waje uaga nazikimbia video insta zinakata mb mbaya
Habari humu wadau wa jukwaa hili?
Aseee naomba kujua Instagram niende wapi ili nikiwa naingia kuangalia video za mule zisiwe zinacheza maana naona bando linakuwa linaisha sana, yani niweke off kama inawezekana tafadhali [emoji120]
Habari humu wadau wa jukwaa hili?
Aseee naomba kujua Instagram niende wapi ili nikiwa naingia kuangalia video za mule zisiwe zinacheza maana naona bando linakuwa linaisha sana, yani niweke off kama inawezekana tafadhali [emoji120]