Mimi sinatatizo la hilo jina, isipokuwa tunatakiwa na kuwa na katiba ya Tanganyika ambayo haina tena huruma juu ya hawa wenzetu, ninamaanisha, kama tunaenda zanzabari kwa kutumia passport basi na wao kuja Tanganyika iwe hivyo hivyo, na maanisha jino kwa jino hakuna msamaha hadi kieleweke kwa sababu haya wameyataka wenyewe.
Kimsingi sioni mantiki ya serikali tatu...kama ni muungano basi tuwe na serikali moja ya muungano na imetosha, then rais awe mmoja wengine wawe makamu inatosha.
Sioni mantiki hata chembe ya nchi yetu masikini kama hii kuwa na serikali tatu na ma rais watatu.
Kwanza istoshe maelezo ya katiba zetu hii mpya na hata iliyopita ni mazuri sana kwa kuyasoma tatizo lipo kwenye utekelezaji je yaliyomo yanafatwaa..????????
Hivyo hata katiba inayokuja iwe na maneno ya kutia moyo kiasi gani kama nidhamu na mambo ya msingi yanayodidimiza nchi kiuchumi hayachukuliwi hatua stahiki kama katiba inavyosema ni kama kupiga deki bahari.
Mie napendekeza serikali mojimbi mawili zanzibar na tanganyika ..kama haiwezekani basi silikari mbili kila nchi kivyake that is workable.
Mbona unakiririshwa vibaya? Aliyekwambia Serikali tatu itakuwa na gharama kubwa kuliko liserikali la sasa lenye Mawaziri karibu 60, wakuu wa mikoa 25, wakuu wa wilaya 120, Makatibu Wakuu karibu 65 nani.... Akili za kuambiwa changanya na za kwako, hiyo hoja ilikuwa ni ya CCM kutaka kuhahalisha utawala wao wa kifisadi ambao umeshindwa kuwaondolea matatizo watanzania kwa zaidi ya miaka 50.
Katiba ya sasa inapendekeza Serikali ya Muungano itakuwa na Mawaziri wasiozidi 15... Wabunge 75 kwa hiyo ukipiga mahesabu ya Serikali ya Muungano haitakuwa na watumishi zaidi ya 120 (Mawaziri, Makatibu Wakuu na Wabunge) Ukija kwa upande wa Tanganyika Katiba yake itasema kama ni kuendelea na majimbo yaliyopo au la... lakini suala la Wakuu wa Mikoa na Wilaya limeshazikwa...
Kimsingi sioni mantiki ya serikali tatu...kama ni muungano basi tuwe na serikali moja ya muungano na imetosha, then rais awe mmoja wengine wawe makamu inatosha.
Sioni mantiki hata chembe ya nchi yetu masikini kama hii kuwa na serikali tatu na ma rais watatu.
Kwanza istoshe maelezo ya katiba zetu hii mpya na hata iliyopita ni mazuri sana kwa kuyasoma tatizo lipo kwenye utekelezaji je yaliyomo yanafatwaa..????????
Hivyo hata katiba inayokuja iwe na maneno ya kutia moyo kiasi gani kama nidhamu na mambo ya msingi yanayodidimiza nchi kiuchumi hayachukuliwi hatua stahiki kama katiba inavyosema ni kama kupiga deki bahari.
Mie napendekeza serikali mojimbi mawili zanzibar na tanganyika ..kama haiwezekani basi silikari mbili kila nchi kivyake that is workable.
Kimsingi sioni mantiki ya serikali tatu...kama ni muungano basi tuwe na serikali moja ya muungano na imetosha, then rais awe mmoja wengine wawe makamu inatosha.
Sioni mantiki hata chembe ya nchi yetu masikini kama hii kuwa na serikali tatu na ma rais watatu.
Kwanza istoshe maelezo ya katiba zetu hii mpya na hata iliyopita ni mazuri sana kwa kuyasoma tatizo lipo kwenye utekelezaji je yaliyomo yanafatwaa..????????
Hivyo hata katiba inayokuja iwe na maneno ya kutia moyo kiasi gani kama nidhamu na mambo ya msingi yanayodidimiza nchi kiuchumi hayachukuliwi hatua stahiki kama katiba inavyosema ni kama kupiga deki bahari.
Mie napendekeza serikali mojimbi mawili zanzibar na tanganyika ..kama haiwezekani basi silikari mbili kila nchi kivyake that is workable.
Kama kawida JF MBUNGE uvivu wa kufikiri hasa kwa watanganyika ni tatizo kubwa wameachia mafisadi wawakaririshe manano kama yako eti nchi yetu bado changa ni masikini nanyi mnakariri hivyo hivyo bila kuongeza hata na akili yako ya ziada ya kuzaliwa nayo. Loh! maskini Tanganyikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa katika bara la Africa nchi hii ina utajiri hakuna mfano. ila akili za wananchi wake ndiyo maskini (eti hatuna uwezo kuendesha serikali 3) rasilimali yote wanabeba wageni mnaachiwa mahandaki tu wakati mnaendelea kuimba nchi yetu maskini. SERIKALI 3 LAZIMA
Mantiki inatokana na mktadha wa sasa mkuu.
Wao hawataki 1, sie hatutaki 2.
Kina Warioba hawaruhusiwi kuvunja muungano (may be could be best option).
The only option available ni serikali 3.
Inawezekana huoni mantiki ya 3 ila watz wakiamua huna jinsi. Kuacha kufanya ya msingi kwa visingizio vya GHARAMA wala haikubaliki.
Huu mwaka mtahama nchi, 3 hazikwepeki!