Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Habari, naomba ushauri wa kitaalam kuhusu issue mbili zinazomkabiri mke wangu.
Issue ya kwanza: Mke wangu ana ndevu kwenye kidevu, sio nyingi sana but anataka zitoke permanently. Je, ni vizuri kuzitoa kwa kunyoa au madawa ya kupaka? Zina sababishwa na nini? Hafu siku zake pia zimebadirika sana, alikua na mzunguko wa siku 28 ikaja 32 ila sasa hadi siku 45. Sasa je hivi vitu viwili vina mahusiano?
Issue ya pili. Tukitoka kusex, baadae anapata maumivu sana sehemu za siri (sio wakati wa kusex, wakati wa kusex ana enjoy kabisa), hafu maumivu yanaweza endelea ata akwa week nzima na sometimes akaingia kwenye period kabisa.
Msaada wa ushauri hapa.
Issue ya kwanza: Mke wangu ana ndevu kwenye kidevu, sio nyingi sana but anataka zitoke permanently. Je, ni vizuri kuzitoa kwa kunyoa au madawa ya kupaka? Zina sababishwa na nini? Hafu siku zake pia zimebadirika sana, alikua na mzunguko wa siku 28 ikaja 32 ila sasa hadi siku 45. Sasa je hivi vitu viwili vina mahusiano?
Issue ya pili. Tukitoka kusex, baadae anapata maumivu sana sehemu za siri (sio wakati wa kusex, wakati wa kusex ana enjoy kabisa), hafu maumivu yanaweza endelea ata akwa week nzima na sometimes akaingia kwenye period kabisa.
Msaada wa ushauri hapa.