Msaada ndugu zangu mwenzenu naangamia

Kaka mwisho

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
407
Reaction score
178
nasumbuliwa na uume wangu yaani unasinyaa nakuwa mdogo na mgumu ukiambatana na miguu kuwa kama misuli inavuta na maumivu makali ya mgongo na kiuno. Nimepima magonjwa ya zinaa sina, x-ray hakuna tatizo. Hizi ni dalili za ugonjwa gani na tiba yake nini.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…