Msaada:NENO RAIS NI KISWAHILI

Kel.G

Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
34
Reaction score
6
Kwa mie ninavyo fahamu neno la kiswahili lazima lihishiwe na irabu mwishoni kama jami-i,lugh-a,jukwa-a,n.k. Lakini neno RAIS halina irabu. Je ni neno la kiswahili
 
Kwa mie ninavyo fahamu neno la kiswahili lazima lihishiwe na irabu mwishoni kama jami-i,lugh-a,jukwa-a,n.k. Lakini neno RAIS halina irabu. Je ni neno la kiswahili

Hilo ni neno la kiswahili ambalo halina asili ya kibantu, Kama sijakosea lina asili ya Kiarabu
kimaandishi hilo neno mara nyingine linaandikwa na kuwekwa i mwisho Raisi na mara nyingine linakuwa bila i kama ulivyoliandika wewe

maneno ya aina hiyo yapo mengi tu,
mfano: Marehem (Marehemu)
Maalum (Maalumu)
 

dah! Aksante nimekusoma mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…