chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 212
jamani wana jamvi,naombeni msaada juu ya hili nina ng'ombe wangu ni wa kienyeji na anamimba kubwa tu ila anatabia ya kula rambo so tumbo lake limekuwa kubwa sana.sasa naombeni kujua dawa ya tatizo hili ni nini?nitawezaje kumzibiti!!