Msaada:ng'ombe wangu anakula sana rambo

Msaada:ng'ombe wangu anakula sana rambo

chelsea fc

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
864
Reaction score
212
jamani wana jamvi,naombeni msaada juu ya hili nina ng'ombe wangu ni wa kienyeji na anamimba kubwa tu ila anatabia ya kula rambo so tumbo lake limekuwa kubwa sana.sasa naombeni kujua dawa ya tatizo hili ni nini?nitawezaje kumzibiti!!
 
Ukiona hivyo jua atazaa stelingi(joking)
ngoja waje wataalamu
 
Wakati nikiwa mdogo kule nyumbani Ng'ombe alikua akila Marlboro sio rahisi kupona atakuja kufa tu maana hazitoki tena ila kwa sasa sijui kama kuna dawa ama utaalam mwingine labda upasuaji kama itawezekana (jus am kidng)
 
Sina uhakika lakini nasikia ng'ombe akila mfuko wa nailon hachomoki! Bora angekuwa anatafuna Bruce Lee.
 
huyo jiandae kumchinja kabla hajafa mwenyewe..hawa wanya wakila nailon wanaanza kudhoofu kwa muda kisha wanakufa wenyewe!
 
Back
Top Bottom