Msaada ngozi yangu inaharibika na sijui kwanini

Msaada ngozi yangu inaharibika na sijui kwanini

DMD King

Member
Joined
Mar 4, 2019
Posts
14
Reaction score
12
Msaada ngozi yangu inaharibika na sijui kwanini

IMG_20220526_183746_6~2.jpg
 
Msaada ngozi yangu inaharibika na sijui kwanini
huwa linanitokea kwenye mabega na kifua hasa majira ya joto , angalia pia sabuni ,badili sabuni...kuna kipindi hadi nikaogopa but nikaanza kusoma baadhi ya tips kwenye google.

Kama ni joto tumia sabuni halafu pia usikae kifua wazi,vaa vesti hata wakati wa kulala inasaidia . Ingawa pia huwa inanitokea nikila dagaa

Angalia chakula unachokula pia
 
Msaada ngozi yangu inaharibika na sijui kwanini
Nunua lotion yyte kavu..... Namaanisha ya ngozi ya mtu mwenye mafuta utapewa kavu..... Alaf kweny hip lotion itenge kidg nyingine pembeni iwwekee manjano nusu kijiko na kipande robo Cha limao...... Koroga vzuri Alf uwe unapakaa usiku kabla ya kwenda kulala..... Hiyo nyingine ilibaki paka mchana.........

Angalizo badirisha shuka na foronya mara kwa mara, nawa uso angalau mara 3 kwa siku na sabuni ya ukwaju au limao, hakikisha unapoweka sim yako sikion iwe safi.
 
Punguza kula wanga hasa ubwabwa, kula vitunguu swaum punje 4 kila siku, kunywa maji mengi, usivitumbue mpaka kutakapokuwa tayari. Ukiweza jipake mate kote palipo athirika.
 
Nawa uso kwa sabuni ya kawaida tafuta nyanya za mboga(hizi wanazouza sokoni,kata kipande)paka usoni kwa muda hata sekunde(maana inawasha balaa)kisha nawa. Fanya hivyo kwa wiki kisha leta mrejesho.
 
Back
Top Bottom