Msaada: Nguvu za kiume zimenizidi, nachelewa kufika kileleni, nifanyeje?!

Msaada: Nguvu za kiume zimenizidi, nachelewa kufika kileleni, nifanyeje?!

Ayochemical

Member
Joined
Jan 26, 2012
Posts
30
Reaction score
5
Jamani naisi nina tatizo mbegu zinachelewa kutoka mwenzenu naweza nikasema hata masaa matatu lakini mbegu ni za kutafuta nikilala na mwanamke mpaka anahisi maumivu na situmii kondomu.

Msaada jamani wanaridhika ila nahisi ni tatizo mbegu zinachelewa sana.
 
Ebu ngoja waje wataalam..maana tatizo na mm linanihusu ingawa sio masaa matatu. Mie nikipata la kwanza..la pili kupata ni shughuri!!
 
Ebu ngoja waje wataalam..maana tatizo na mm linanihusu ingawa sio masaa matatu. Mie nikipata la kwanza..la pili kupata ni shughuri!!

Ww tunasubili wote ninaweza kupiga moja lkn la pili ni isue pia cpendi kuduu na dem zaidi wa mara tatu
 
Back
Top Bottom