bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
Naomba msaada wadau;
Kujua ni benki ipi hapa kwetu tanzania inatoa mikopo kwa marejesho ya riba ya chini au nafuu kidogo?
Naamini ntakuwa nimeeleweka,kama sijaeleweka kwa wale walionielewa naomba watanisaidia kuwaelewesha ambao hawajaelewa.
Ahsanteni.
Bampami.
Kujua ni benki ipi hapa kwetu tanzania inatoa mikopo kwa marejesho ya riba ya chini au nafuu kidogo?
Naamini ntakuwa nimeeleweka,kama sijaeleweka kwa wale walionielewa naomba watanisaidia kuwaelewesha ambao hawajaelewa.
Ahsanteni.
Bampami.