TBC wamepewa ngapi ?
DSTV wanarusha michuano ya CAF CL toka lini?Kuna taratibu zake za kupewa.. sio buree kabisa kuna gharama unalipishwa ila ndogo tofauti na tvs za pay tv.. jiulize kwa nini ligi ya bongo inaoneshwa na azam sports channel.. ila caf champions league zinaoneshwa na zbc2 only.... na simu za Tanzania zikitolewa tu caf inaishia hapo hapo.. mfano nusu fainali simba hayupo.. utaona kama azam ataonesha mechi.. ila dstv yeye anaonesha kila mechi bila kujali timuza nchi gani
Toka enzi na enzi..DSTV wanarusha michuano ya CAF CL toka lini?
Poa mkuu...play store au?
Kupitia source ipi mkuu
Canal+ ndio mwisho wa matatizo,bei kitonga then unapata ligi zote uzijuazo wewe.Kama wewe ni mpenzi wa mpira ya nje ongeza DSTV.....Tusikariri lazima tuwe na Kisimbusi kimoja.
Yaani kwa promo zile za Euro ndio wanakuja kutuonyesha match kwa mafungu hivi,kila baada ya Siku moja match moja.Ila azam ni miyeyusho sana
Umesikia kutoka kijiwe gani?sisi tunaongelea uhalisia wewe unatuletea hadithi za Vijiweni.ZBC2 game zote zipo livlive
Sure!
Canal+ ndio mwisho wa matatizo,bei kitonga then unapata ligi zote uzijuazo wewe.
Mkuu nashukuru sana, nimechek vzr kabisa na iko very clear.
asante mkuu..nitacheki
Azam bado wanaonyesha hiyo Caf champions leagueKuna taratibu zake za kupewa.. sio buree kabisa kuna gharama unalipishwa ila ndogo tofauti na tvs za pay tv.. jiulize kwa nini ligi ya bongo inaoneshwa na azam sports channel.. ila caf champions league zinaoneshwa na zbc2 only.... na timu za Tanzania zikitolewa tu caf inaishia hapo hapo.. mfano nusu fainali simba hayupo.. utaona kama azam ataonesha mechi.. ila dstv yeye anaonesha kila mechi bila kujali timuza nchi gani
Dar hapa ishu kupata hiiCanal+ ndio mwisho wa matatizo,bei kitonga then unapata ligi zote uzijuazo wewe.
asante mkuu..nitacheki
Mkuu nashukuru sana, nimechek vzr kabisa na iko very clear.
WANAONESHA MKUUKuna taratibu zake za kupewa.. sio buree kabisa kuna gharama unalipishwa ila ndogo tofauti na tvs za pay tv.. jiulize kwa nini ligi ya bongo inaoneshwa na azam sports channel.. ila caf champions league zinaoneshwa na zbc2 only.... na timu za Tanzania zikitolewa tu caf inaishia hapo hapo.. mfano nusu fainali simba hayupo.. utaona kama azam ataonesha mechi.. ila dstv yeye anaonesha kila mechi bila kujali timuza nchi gani