Msaada: Ni hatua gani kisheria naweza kumchukulia fundi msumbufu.

Msaada: Ni hatua gani kisheria naweza kumchukulia fundi msumbufu.

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Umuofia kwenu,

Aise kuna fundi nilimpa kazi na malipo 85% kazi ilikua ya makubaliano ya kukamilika kwa wiki Moja, lakini sasa yapata mwezi na mwelekeo wa kukamilika haupo.

Mbaya zaidi hana dharula yoyote yupo na anaendelea na kazi za wateja wengine nikimuhimiza kua ananikwamisha analeta kiswahili kingin na kiasi tunafahamiana naona ndio naama ananipuuzia. Kotukana na ku hechelewesha kazi yangu Kuna hasara kadhaa nimeanza kuzipata kutokana na kazi hiyo kutokanilika kwa muda tarajiwa.

Sina Nia Mbaya na yeye lakini nahitaji kazi yangu kukamilika jambo ambalo kwa dhairi anaonekana kupuuzia kabisa.

Wakuu, nimefika breaking point nimesa zungumza nae sana sana nimedhamiria kuchukua hatua ya wastani ili kazi yangu ifanyike, ikishindikana nichukue hatua Kali.

Ombi langu kwenu wataalamu wa Sheria na wenye uzoefu na mafundi wasumbufu nipeni ushauri je nimfungulie jalada ? Kwa kesi ya Madai au wizi wa kuaminiwa ? Je kesi Kama hizi zinapokekewa polisi au ni mahakamani Moja kwa moja?
 
Unamlipa fundi wa kibongo 85% ya makubaliano ya kazi

Ova
 
Chukua vifaa vyake vyote vya kazi wala usitake suluhu naye
 
Nilishafanya kazi za kuajiri fundi Sana lakini iwe jua iwe mvua lazima ukubwa wa kazi uwe mkubwa kuliko nilichomlipa. Kuna wakati asubuhi wakati anaingia kazini anaweza kuniambia boss c unaona nyomi hii ya vibarua na mafundi jioni wataniua kama Sitawalipa, Huwa namwambia piga kazi fundi Kuna pesa mpaka saa Tisa ishaingia kwenye simu uhakika. Ikifika by saa kumi najikata akinipigia naanza na mimi sound yule jamaa kanizingua hebu wabembeleze mbona kesho sio mbali. Na kweli wakipima kesho mbona sio mbali?? Na kesho pia siji na full money maana najua mm nikiwa nadaiwa deni na fundi ndio uchangamfu wa kazi utakuwepo
 
Umuofia kwenu,

Aise kuna fundi nilimpa kazi na malipo 85% kazi ilikua ya makubaliano ya kukamilika kwa wiki Moja, lakini sasa yapata mwezi na myelekeo wa kukamilika haupo.

Mbaya zaidi hana dharula yoyote yupo na anaendelea na kazi za wateja wengine nikimuhimiza kua ananikwamisha analeta kiswahili kingina kiasi tunafahamiana naona ndio naama ananipuuzia. Kotukana na ku helewesha kazi yangu Kuna hasara kadhaa nimeanza kuzipata kutokana na kazi hiyo kutokanilika.

Sina Nia Mbaya na yeye lakini nahitaji kazi yangu kukamilika jambo ambalo kwa dhairi anaonekana kupuuzia kabisa.

Wakuu, nimefika breaking point nimesaha zungumza nae sana sana nimedhamiria kuchukua hatua ya wastani ili kazi yangu ifanyike, ikishindikana nichukue hatua Kali.

Ombi langu kwenu wataalamu wa Sheria na wenye uzoefu na mafundi wasumbufu nipeni ushauri je nimfungulie jalada ? Kwa kesi ya Masai au wizi wa kuaminiwa ? Je kesi Kam hizi zinapokekewa polisi au ni mahakamani ?
Ongea na askari mtie ndani wizi wa kuaminiwa. Akiwa nyuma ya nyavu mtakubaliana vizuri akulipe.
 
Nilishafanya kazi za kuajiri fundi Sana lakini iwe jua iwe mvua lazima ukubwa wa kazi uwe mkubwa kuliko nilichomlipa. Kuna wakati asubuhi wakati anaingia kazini anaweza kuniambia boss c unaona nyomi hii ya vibarua na mafundi jioni wataniua kama Sitawalipa, Huwa namwambia piga kazi fundi Kuna pesa mpaka saa Tisa ishaingia kwenye simu uhakika. Ikifika by saa kumi najikata akinipigia naanza na mimi sound yule jamaa kanizingua hebu wabembeleze mbona kesho sio mbali. Na kweli wakipima kesho mbona sio mbali?? Na kesho pia siji na full money maana najua mm nikiwa nadaiwa deni na fundi ndio uchangamfu wa kazi utakuwepo
Pole zingatia huu ushauri itakusaidia siku nyingine
 
Umuofia kwenu,

Aise kuna fundi nilimpa kazi na malipo 85% kazi ilikua ya makubaliano ya kukamilika kwa wiki Moja, lakini sasa yapata mwezi na myelekeo wa kukamilika haupo.

Mbaya zaidi hana dharula yoyote yupo na anaendelea na kazi za wateja wengine nikimuhimiza kua ananikwamisha analeta kiswahili kingina kiasi tunafahamiana naona ndio naama ananipuuzia. Kotukana na ku helewesha kazi yangu Kuna hasara kadhaa nimeanza kuzipata kutokana na kazi hiyo kutokanilika.

Sina Nia Mbaya na yeye lakini nahitaji kazi yangu kukamilika jambo ambalo kwa dhairi anaonekana kupuuzia kabisa.

Wakuu, nimefika breaking point nimesaha zungumza nae sana sana nimedhamiria kuchukua hatua ya wastani ili kazi yangu ifanyike, ikishindikana nichukue hatua Kali.

Ombi langu kwenu wataalamu wa Sheria na wenye uzoefu na mafundi wasumbufu nipeni ushauri je nimfungulie jalada ? Kwa kesi ya Masai au wizi wa kuaminiwa ? Je kesi Kam hizi zinapokekewa polisi au ni mahakamani ?
Pole sana ndugu
 
Kuna fundi mmoja aliniletea ujinga hivyo hivyo. Nikamlia timing siku moja nikamuona anafanya kazi sehemu. Nikaweka child lock na window lockkwenye gari. Nikaenda alipo nikaomwita aingie kwenye gari tuongee akaingia kingi nikamwambia aingie mlango wa nyuma.
Alipoingia nikamwambia leo utatoa ile hela yangu au nakupeleka polisi......

hapo tupo 30km from .......... Nikamwabia kule hakujui mtu utakaa hata mwezi! Sasa pigia ndugu zako simu mchange hiobhela kama huna. Kufungua mlango na vioo bila bila nikaamza kuondoka gari mdogo mdogo. Alipiga simu zake akalipa hio hela nikamshusha huko tulipokuwa tushafika.
 
Siku nyingine usirudie kumlipa fundi kiasi kikubwa Cha pesa kuliko kazi aliyo fanya
 
Mafundi hawalipwi hela yote kwa mkupuo hivyo mkuu, anapewa kidogo kidogo tena baada ya kazi nusu nusu kulingana na alichofanya.
 
Back
Top Bottom