Msaada: Ni kawaida mtoto kuota meno chonge kabla ya meno ya mbele?

Msaada: Ni kawaida mtoto kuota meno chonge kabla ya meno ya mbele?

Twinawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
2,431
Reaction score
5,336
Mwanagu wa miezi 7 nane kasoro kashaota meno mawili ya chini ila kinachonishangaza upande wa juu limejitokeza jino pembeni (meno chonge ) yameota kabla ya meno ya mbele .

Je hii ni hali ya kawaida? Sijawai ona popote
Screenshot_20231202-211116_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom