Weekend weekend masualaaaHellow friday..
Kama una mke, nakushauri tulia nae, achana mahangaiko yatakoyo kujutisha baadae.'Fiesta condom' kwangu ni kondomu bora sana kuwai kuitumia kutokana na namna ilivyo, haipotezi ladha, yani ni kama kavu. Sasa shida ni kua kwa sasa imekua imekua ngumu kidogo kupatikana yani nimeshaitafuta sana nimeikosa. Kondom zingine zinazopatikana kwa wingi nikitumia naona hakuna ladha ya tendo na binafsi siwezi kufanya mapenzi na mwanamke ambae sio mke wangu bila kondom. Naomba kwa wanaofaham zaidi hivi vitu, ni kondom gani ipo kama ilivyo Fiesta kondom, yani 'kama kavu'
Nakazia, nyama kwa nyamaChapo kavu taam bhnaaa
mzabzab tunahitaji msahada'Fiesta condom' kwangu ni kondomu bora sana kuwai kuitumia kutokana na namna ilivyo, haipotezi ladha, yani ni kama kavu. Sasa shida ni kua kwa sasa imekua imekua ngumu kidogo kupatikana yani nimeshaitafuta sana nimeikosa. Kondom zingine zinazopatikana kwa wingi nikitumia naona hakuna ladha ya tendo na binafsi siwezi kufanya mapenzi na mwanamke ambae sio mke wangu bila kondom. Naomba kwa wanaofaham zaidi hivi vitu, ni kondom gani ipo kama ilivyo Fiesta kondom, yani 'kama kavu'
Kisonono hukijui wewe.Condom ni Condom mimi huwa sichagui
Chapo kavu taam bhnaaa