Heshima kwenu wana Jf,
Kuna jambo linatatiza sana hapa kijiweni kuhusu muungano wetu.Kuna jamaa ka rise mada hapa kwamba sababu kubwa ya CCM na Serikali kung'ng'ania muungano ni kwamba kwa mujibu wa ramani ya enzi za mkoloni mipaka ya Zanzibar inaonesha Dar es salaam kuwapo ndani yake.
Tumebishana sana na nikakumbuka Jf kwamba kuna watu wenye busara nyingi,hali kadhalika uelewa mkubwa.Naombeni msaada juu ya hili ndugu zanguni.
Mod naomba uzi huu upate nafasi japo nifumbuke akili.asanteni
Kuna jambo linatatiza sana hapa kijiweni kuhusu muungano wetu.Kuna jamaa ka rise mada hapa kwamba sababu kubwa ya CCM na Serikali kung'ng'ania muungano ni kwamba kwa mujibu wa ramani ya enzi za mkoloni mipaka ya Zanzibar inaonesha Dar es salaam kuwapo ndani yake.
Tumebishana sana na nikakumbuka Jf kwamba kuna watu wenye busara nyingi,hali kadhalika uelewa mkubwa.Naombeni msaada juu ya hili ndugu zanguni.
Mod naomba uzi huu upate nafasi japo nifumbuke akili.asanteni