Moderator,Innovator ,Fang ,BlackBold haikuwa sahihi huu uzi kuletwa jukwaa la urembo na utanashati sababu ninachoulizia hapa ni medical product sio cosmetic product
Ikiwezekana urudishwe jukwaa la Afya maana kule ndio kuna wataalamu wa hiki nilichouliza hapa,huku nitapewa ushauri wa creams ambazo sio zinaweza zisiwe salama na sahihi.
Ahsante