Msaada: Ni mambo gani nizingatie napofanya ununuzi wa nyumba?

Msaada: Ni mambo gani nizingatie napofanya ununuzi wa nyumba?

Justine_Dannie

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
1,962
Reaction score
1,618
Habari ndugu zangu.
Hivi karibuni Mungu akipenda naweza nunua Nyumba hapo mkoani Arusha.
MSAADA nao uhitaji ni mambo gani nizingatie napofanya ununuzi huu?
Kiukweli sijui chochote juu ya masuala haya
Nini cha kukifanya?
Nini cha kuepuka?
Naombeni msaada wenu wa hali na mali kabla sijaingizwa mjini.
Asanteni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tatizo lako laweza pata majibu kwnye JUKWAA LA SHERIA ndo mahali pake

Ila usijali wajuvi wanakuja
 
Nifumbue macho zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kununua uwanja ni wajibu wako kufanya uchunguzi wa kiwanja husika unaweza ukanunua kiwanja ambacho alishauziwa mtu mwingine au kiwanja ambacho kimewekwa mortgage (rehani) hiyo principle inatoa wajibu kwa mnunuzi kuwa makini kuna mambo mengine ambayo unaweza ukayajua kuhusu kiwanja unachotaka kununua kwa kufanya simple diligence au tu kwa kwenda kwa msajili mamlaka ya ardhi huko halimashauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nifumbue macho zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
kabla ya kununua ni vizuri kufanya 'official search' katika ofisi ya ardhi hapo arusha na jiridhishe katika haya:
1. jina la muuzaji liwe sawa na jina la mmiliki kama ulivyoona kutoka ofisi ya ardhi.

2. kuwajua majirani wanaopakana na nyumba/ardhi unayotaka inunua.

3. kushirikisha mwanasheria/mahakama wakati wa kufanya makubaliano/malipo.

4. hakikisha unafanya malipo kupitia akaunti ya benki inayomilikiwa na muuzaji ikiwezekana ulipe kwa instalments japo mbili.

5. hakikisha kuna mashahidi wa muuzaji/mnunuzi wanakuwepo wakati wa makubaliano ikiwezekana na muda unaofanya malipo.

6. hakikisha kuna mkataba wa makubaliano ya kuuziana nyumba utakaokuwa na sahihi za muuzaji,mnunuzi pamoja na mashahidi.

7. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujaza na kusaini 'land form no. 35' ya "transfer of a right of occupancy" iliyoko kwenye Act No. 15 of 1999 under Section 62.

8. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujaza na kusaini 'land form no. 38' ya "contract for a disposition of a right of occupancy " iliyoko kwenye Act No. 15 of 1999 under Section 62.

9. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujaza na kusaini 'land form no. 29 ' ya "notification of a disposition" iliyoko kwenye Act No. 15 of 1999 under Section 36.

10. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujaza na kusaini 'land form no. 30' ya "application for approval of disposition" iliyoko kwenye Act No 15 of 1999 under Section 39.

11. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujazwa na kusainiwa kwa 'consent by spouse to disposition of a right of occupancy' iliyoko kwenye Act No. 4 of 1999.

12. hakikisha unajaza na kusaini 'commitment bond' iliyoko kwenye Act No. 4 of 1999.

13. hakikisha kodi zote za ardhi/jengo zimelipwa mpaka wakati wa kufanya mauziano.

note: sina taaluma wala ujuzi wa sheria ila hizi ni hatua ambazo niliwahi pitia nilipofanya mauziano/manunuzi ya ardhi/nyumba kwa hiyo marekebisho yanaruhusiwa.
 
kabla ya kununua ni vizuri kufanya 'official search' katika ofisi ya ardhi hapo arusha na jiridhishe katika haya:
1. jina la muuzaji liwe sawa na jina la mmiliki kama ulivyoona kutoka ofisi ya ardhi.

2. kuwajua majirani wanaopakana na nyumba/ardhi unayotaka inunua.

3. kushirikisha mwanasheria/mahakama wakati wa kufanya makubaliano/malipo.

4. hakikisha unafanya malipo kupitia akaunti ya benki inayomilikiwa na muuzaji ikiwezekana ulipe kwa instalments japo mbili.

5. hakikisha kuna mashahidi wa muuzaji/mnunuzi wanakuwepo wakati wa makubaliano ikiwezekana na muda unaofanya malipo.

6. hakikisha kuna mkataba wa makubaliano ya kuuziana nyumba utakaokuwa na sahihi za muuzaji,mnunuzi pamoja na mashahidi.

7. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujaza na kusaini 'land form no. 35' ya "transfer of a right of occupancy" iliyoko kwenye Act No. 15 of 1999 under Section 62.

8. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujaza na kusaini 'land form no. 38' ya "contract for a disposition of a right of occupancy " iliyoko kwenye Act No. 15 of 1999 under Section 62.

9. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujaza na kusaini 'land form no. 29 ' ya "notification of a disposition" iliyoko kwenye Act No. 15 of 1999 under Section 36.

10. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujaza na kusaini 'land form no. 30' ya "application for approval of disposition" iliyoko kwenye Act No 15 of 1999 under Section 39.

11. hakikisha mnakamilisha mauziano kwa kujazwa na kusainiwa kwa 'consent by spouse to disposition of a right of occupancy' iliyoko kwenye Act No. 4 of 1999.

12. hakikisha unajaza na kusaini 'commitment bond' iliyoko kwenye Act No. 4 of 1999.

13. hakikisha kodi zote za ardhi/jengo zimelipwa mpaka wakati wa kufanya mauziano.

note: sina taaluma wala ujuzi wa sheria ila hizi ni hatua ambazo niliwahi pitia nilipofanya mauziano/manunuzi ya ardhi/nyumba kwa hiyo marekebisho yanaruhusiwa.
Asante sana mkuu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom