Masala kolangwa
Member
- Aug 15, 2024
- 5
- 4
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Relax... Kisha ingia kwenye Account ya chuo chako... Download Admission letter .. Huwa inaambatanishwa na Fomu ya afya,Fomu ya mdhamini na Joining instruction ... Jaza hizo Fomu kisha soma maelekezo yaliyopo kwenye joining instruction!! Hakuna cha ziadaHabari,
Naombeni msaada kwa kunielewesha mambo ya kuzingatia.
Baada ya kuchaguliwa kujiunga na chuo, maana mimi naona kuna kuconfirm, lakini sijajua vitu gani nahitaji kuandaa kabla ya kuwasili chuo husika, hususani kwa sisi tunaotoka mikoa ya mbali ya vyuo tulivyochaguliwa.
Mkuu HabariNenda na kibegi chako tu, akili utazikuta hukohuko!! Kumbuka mahitaji ya Me ni tofauti na KE.. Check that
Niaje broMkuu Habari