Msaada: Ni mambo gani ya kuzingatia, baada ya mtu kuchaguliwa kujiunga na chuo?

Relax... Kisha ingia kwenye Account ya chuo chako... Download Admission letter .. Huwa inaambatanishwa na Fomu ya afya,Fomu ya mdhamini na Joining instruction ... Jaza hizo Fomu kisha soma maelekezo yaliyopo kwenye joining instruction!! Hakuna cha ziada
 
Hakuna cha kuzingatia. Maisha utayazoea huko huko.

First year lazima uwe na mhaho. Chuoni kwako hawana orientation week?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…