RemarkableTee
New Member
- Mar 30, 2015
- 1
- 0
Habari zenu wanajukwaa,
Naomba msaada wa maswali yanayoulizwa kwenye usaili wa Afisa Biashara (written interview) Utumishi, ambayo imejumuisha Kada mbalimbali za biashara.
Asanteni.
Naomba msaada wa maswali yanayoulizwa kwenye usaili wa Afisa Biashara (written interview) Utumishi, ambayo imejumuisha Kada mbalimbali za biashara.
Asanteni.