SlimFit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2016
- 2,041
- 3,119
Wakuu amani iwe nanyi.
Twende kwenye mada, ni namna gani naweza pata taarifa zote za namba yangu ya NIDA bila kufika NIDA?
Kwanini bila kufika NIDA?
Nimeona kabisa jamaa ananijaza i.e anasema taarifa zangu za education hazipo kwa mfumo hivyo natakiwa nimtafute nijaze fomu nifanye maombi upya. Kwangu mimi bado haiingii akilini niliona nisibishane nae ili nisipoteze muda wangu. Mwisho akaniandikia taarifa chache tu.
Twende kwenye mada, ni namna gani naweza pata taarifa zote za namba yangu ya NIDA bila kufika NIDA?
Kwanini bila kufika NIDA?
Nimeona kabisa jamaa ananijaza i.e anasema taarifa zangu za education hazipo kwa mfumo hivyo natakiwa nimtafute nijaze fomu nifanye maombi upya. Kwangu mimi bado haiingii akilini niliona nisibishane nae ili nisipoteze muda wangu. Mwisho akaniandikia taarifa chache tu.