Msaada: Ni upi utaratibu wa kubadili dhehebu kutoka Lutheran kwenda Pentecoste?

Msaada: Ni upi utaratibu wa kubadili dhehebu kutoka Lutheran kwenda Pentecoste?

Niomi kaka

Member
Joined
Feb 28, 2025
Posts
8
Reaction score
8
Habari za asubuhi,

Samahani mimi ni mgeni humu japokuwa nimekuwa mfuatiliaji wa habari mbalimbali za JamiiForums. nimeamua kuwa mwanafamilia ili na mimi niwe nachangia hoja,

Leo nitaomba mnisaidie mwongozo coz humu kuna watu tofauti tofauti.

Mimi ni mkristo na muumini wa kanisa la KKKT, toka ninazaliwa na kujitambua nimekuwa nikisali humo.
Lakini kwa sasa nataka nibadili dhehebu nataka nihamie Pentecoste kwahiyo nahitaji kujua utaratibu wa dhehebu hilo kabla sijaonana na uongozi husika, coz nilita nibatizwe kabisa
 
Kwa baadhi ya makanisa ya pentekoste ni lazima kwanza upate ubatizo wa maji mengi hii ni baada ya mafundisho ya kuukulia wokovu
 
Hamia dhehebu lolote karibu yako anza kulipa fungu la kumi hapo mshirika tayari
 
Mimi ni mkristo na muumini wa kanisa la KKKT, toka ninazaliwa na kujitambua nimekuwa nikisali humo.
Lakini kwa sasa nataka nibadili dhehebu nataka nihamie Pentecoste kwahiyo nahitaji kujua utaratibu wa dhehebu hilo kabla sijaonana na uongozi husika, coz nilita nibatizwe kabisa

Kwani kumuabudu Mungu kuna suala la utaratibu?

Ibada inahitaji Mungu, mtu, sehemu(wengine huita madhabahu) na kuhani basi...
 
Habari za asubuhi,

Samahani mimi ni mgeni humu japokuwa nimekuwa mfuatiliaji wa habari mbalimbali za JamiiForums. nimeamua kuwa mwanafamilia ili na mimi niwe nachangia hoja,

Leo nitaomba mnisaidie mwongozo coz humu kuna watu tofauti tofauti.

Mimi ni mkristo na muumini wa kanisa la KKKT, toka ninazaliwa na kujitambua nimekuwa nikisali humo.
Lakini kwa sasa nataka nibadili dhehebu nataka nihamie Pentecoste kwahiyo nahitaji kujua utaratibu wa dhehebu hilo kabla sijaonana na uongozi husika, coz nilita nibatizwe kabisa
Hilo kanisa unalotaka kwenda linafungwa mwaka huu.
 
Back
Top Bottom