Cha kwanza ni Kikako cha familia/ukoo kumchagu mtu mmona ambaye ndio atakua MSIMAMIZI WA MIRATHI.
Hatua ya Pili ni kwenda Mahakamani ambapo utasajili mirathi na kuna muda unawekwa kama utapokea mapingamizi.
(Hapa kuna fast track ila siwezi andika hapa)
Tatu, kama sikosei mtakua na kikao cha mgawanyo wa mali. Kisha muhtasari utakua submitted mahakamani.
Mahakama itaziandikia barua benki, taasiisi, mwajiri kuwasilisha stahiki za marehemu.
Zikifika mtaitwa warithi wotw kuchukua cheque zenu as per ule mgawanyiko wa mali mlioandika.
(Ni zamani sana nilisimamia, nakumbuka kwa uchache, na hii ni provided familia haina migogoro)