LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 674
nina mdogo wangu wa kike naishi naye hapa kwangu na amemaliza diploma mwaka jana maana yeke naye anasuburi ajira,
lakini sasa katika mtihani wake alipass akapata gpa 2.6 kwa mitihani yao ya diploma, baada ya kusubiri ajira mda mrefu bila mafanikio anataka kuendelea na masomo ya degree.
Swali langu kwanza sijafahamu utaratibu wake wa kujiunga na masomo hayo na je gpa hiyo ina mruhusu?? Na kama haimuruhu kuna mitihani nasikia huwa inafanywa vyuoni kwa wale ambao hawaja timiza vigezo coz cheti cha chake cha fm six ana three nafikiri d na s ,s
naomba anaye jua anijuze tafadhari kuhusu hilo likpoje???
lakini sasa katika mtihani wake alipass akapata gpa 2.6 kwa mitihani yao ya diploma, baada ya kusubiri ajira mda mrefu bila mafanikio anataka kuendelea na masomo ya degree.
Swali langu kwanza sijafahamu utaratibu wake wa kujiunga na masomo hayo na je gpa hiyo ina mruhusu?? Na kama haimuruhu kuna mitihani nasikia huwa inafanywa vyuoni kwa wale ambao hawaja timiza vigezo coz cheti cha chake cha fm six ana three nafikiri d na s ,s
naomba anaye jua anijuze tafadhari kuhusu hilo likpoje???