ProMagufuli
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 253
- 270
Salaam wataalamu wa afya. Kama kichwa kinavyoelekeza naitaji msaada kuhusiana na anxiety disorder. Kwamba niwapi nawezafanyiwa diagnosis na gharama zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka mkuu shida nini mwanzo wa tatizo nkSalaam wataalamu wa afya. Kama kichwa kinavyoelekeza naitaji msaada kuhusiana na anxiety disorder. Kwamba niwapi nawezafanyiwa diagnosis na gharama zake.
nataka nijue kama ninalo ama la.!Funguka mkuu shida nini mwanzo wa tatizo nk
sawa wanapatikana wapi?anxiety kifupi haina common test but ukikutana na psychiotric expat ataitambua kwa talks and clinical signs utakazoelezea then ataamua aina ya matibabu upewe,either talk theurapy au pharm theurapy
Salaam wataalamu wa afya. Kama kichwa kinavyoelekeza naitaji msaada kuhusiana na anxiety disorder. Kwamba niwapi nawezafanyiwa diagnosis na gharama zake.
shukrani mkuuMimi pia ni mhanga wa hili tatizo,nishaenda hospital lakin wapi…Hii hali unaweza kujitibu mwenyewe kwa kufanya mazoezi na kula almonds pia acha vitu kama soda hasa pepsi
sawa wanapatikana wapi?
shukrani nakucheki pm.unaweza kuwakuta hasa hosp za rufaa, ratba yao mara nyingi huwa wana siku maalumu ya kuonana na wagonjwa hivyo waone mpange appointment.lakini pia unaweza kunieleza clinical signs zako naweza kushauri nini cha kufanya kwa sehemu yangu ndugu
Dah nimevutiwa sana na hiyo professional mpya inayoitwa "psychiotric expat"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anxiety kifupi haina common test but ukikutana na psychiotric expat ataitambua kwa talks and clinical signs utakazoelezea then ataamua aina ya matibabu upewe,either talk theurapy au pharm theurapy
Umeacha vinywaji vyote isipokuwa PepsiMimi pia ni mhanga wa hili tatizo,nishaenda hospital lakin wapi…Hii hali unaweza kujitibu mwenyewe kwa kufanya mazoezi na kula almonds pia acha vitu kama soda hasa pepsi
ndo tatizo gani hili mkuu?Mimi pia ni mhanga wa hili tatizo,nishaenda hospital lakin wapi…Hii hali unaweza kujitibu mwenyewe kwa kufanya mazoezi na kula almonds pia acha vitu kama soda hasa pepsi
Atakua ana bifu na kampuni ya peps
typing errorDah nimevutiwa sana na hiyo professional mpya inayoitwa "psychiotric expat"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha. Sijawahi mbona. Hauko sahihiKikubwa shida ya jamaa ni nguvu za kiume related problem.
Anakuwa na uoga flani hivi anapokutana na demu kipindi cha kunyanduana.
Anaweza akawa anamchezea demu mashine imesimama vizuri ila akitaka kuchomeka tu hapohapo inakata moto inakuwa kama mkufu.
Kwahiyo ndo anataka kuonana na watalaam wakague shida yake ya kisaikolojia zaidi.
Me nimefungua tu mabano mtoa post atasema zaidi.