Kwanza angalia bodystracture yake, kisha mnunulie viatu na nguo za vitenge ama zilizo shonwa kiafrika zaidi kama:-Habari za jumapili wanafamilia wa jf. Nina rafiki wa kike toka marekani. Amekuwa akinitumia zawadi mbarimbari laini mimi sijawahi hata kumtumia zawadijapo moja[emoji85]. Nimefikili na kuona ni wakati mzuri nami niweze kutuma zawadi yoyote lakin itajikita kwenye culture. Naombeni ushauri wanamitindo. Ni zawadi gani itafaa? Na kwa morogoro mjini nitaipata duka gani? Nawasilisha
Ahsante sana mkuu. Ubarikiwe kwa wako ushauri.Kwanza angalia bodystracture yake, kisha mnunulie viatu na nguo za vitenge ama zilizo shonwa kiafrika zaidi kama:-View attachment 1083202View attachment 1083203View attachment 1083204View attachment 1083205View attachment 1083206View attachment 1083207View attachment 1083208View attachment 1083209View attachment 1083210View attachment 1083211View attachment 1083212
Cc MudawoteHabari za jumapili wanafamilia wa jf. Nina rafiki wa kike toka marekani. Amekuwa akinitumia zawadi mbarimbari laini mimi sijawahi hata kumtumia zawadijapo moja[emoji85]. Nimefikili na kuona ni wakati mzuri nami niweze kutuma zawadi yoyote lakin itajikita kwenye culture. Naombeni ushauri wanamitindo. Ni zawadi gani itafaa? Na kwa morogoro mjini nitaipata duka gani? Nawasilisha
Hirizi au TunguliHabari za jumapili wanafamilia wa jf. Nina rafiki wa kike toka marekani. Amekuwa akinitumia zawadi mbarimbari laini mimi sijawahi hata kumtumia zawadijapo moja[emoji85]. Nimefikili na kuona ni wakati mzuri nami niweze kutuma zawadi yoyote lakin itajikita kwenye culture. Naombeni ushauri wanamitindo. Ni zawadi gani itafaa? Na kwa morogoro mjini nitaipata duka gani? Nawasilisha
Hahahaha thanks sana mdau. Connection zipo nyingi sana. Ni wewe tuMnunulie sandals nzuri za kimasai, bangili, hereni na cheni z culture, nguo zile zenye African print (shati), batiki nk
Hongera mi naomba connection bro, uni connect hata na babu yake
Hahahahah thanjs mdauMimi nikishawahi kumtumia volunteer mmoja mUSA ila ilikuwa kitambo sanaa nilituma sendonza kike za kimasai kali sanaa nilinunua pale iringa alafu na kq bangiki flan ka culture kakali mnooo bro nakumbuka nilichajiwa elfu 36 pale posta mzigo ukapimwa ukakutwa na gram 6 ila ss yule manzi alikaa sanaa akaja akanitumia postcard ya manhattan skyline NY hapo nikasitisha huduma ya kutuma zawadi
Babu yake nipo hapaMnunulie sandals nzuri za kimasai, bangili, hereni na cheni z culture, nguo zile zenye African print (shati), batiki nk
Hongera mi naomba connection bro, uni connect hata na babu yake
Pelekee kinu na mtwangio na mafungu ma5 ya kisamvuHabari za jumapili wanafamilia wa jf. Nina rafiki wa kike toka marekani. Amekuwa akinitumia zawadi mbarimbari laini mimi sijawahi hata kumtumia zawadijapo moja[emoji85]. Nimefikili na kuona ni wakati mzuri nami niweze kutuma zawadi yoyote lakin itajikita kwenye culture. Naombeni ushauri wanamitindo. Ni zawadi gani itafaa? Na kwa morogoro mjini nitaipata duka gani? Nawasilisha
🤗🤗 nikupongeze kwa ujasiri wa kuuliza, what I know n kwamba zawadi kubwa kwa wenzetu wamagharibi hasa kwa jinsia ya kike ni MAUA hapo ataamini kweli unamthamini yangu n hayo🍁🌷🌹Habari za jumapili wanafamilia wa jf. Nina rafiki wa kike toka marekani. Amekuwa akinitumia zawadi mbarimbari laini mimi sijawahi hata kumtumia zawadijapo moja[emoji85]. Nimefikili na kuona ni wakati mzuri nami niweze kutuma zawadi yoyote lakin itajikita kwenye culture. Naombeni ushauri wanamitindo. Ni zawadi gani itafaa? Na kwa morogoro mjini nitaipata duka gani? Nawasilisha
Ahsante sana kwa mchango wako. [emoji2935][emoji847][emoji847] nikupongeze kwa ujasiri wa kuuliza, what I know n kwamba zawadi kubwa kwa wenzetu wamagharibi hasa kwa jinsia ya kike ni MAUA hapo ataamini kweli unamthamini yangu n hayo[emoji260][emoji255][emoji257]