Msaada: Ni zipi athari za ugoro?

Msaada: Ni zipi athari za ugoro?

Ugoro haufai achana nao kama ni wewe ndio watumia "ngisugi "
 
Ugoro, kuber khan, golden khan, parik, gutka....sijui madude gani mengine ni upuuzi tuu

Ugoro unafanya unaathali nyingi ikiwemo kuudhoofisha mwili nina uhakika huwezi kupiga hata bao tatu ukitumia Ugoro pia hupoteza hamu ya kula, huaribu fizi pamoja na meno na hata mfumo wa chakula huaribika, kingine hutema mate kama una mimba changa, jambo ambalo si jema mbele za watu pia mla Ugoro hujitenga na watu wenye dili sababu hakuna mtu anayeweza kukupa dili na mimate unayotema.....babu kama ni wewe ama ni jamaa wa karibu aache hizo vitu...Afya itarudi na maji atakunywa
 
Ugoro ni pafyum ya mdomo, tafuna tu mkuu
 
Ugoro, kuber khan, golden khan, parik, gutka....sijui madude gani mengine ni upuuzi tuu

Ugoro unafanya unaathali nyingi ikiwemo kuudhoofisha mwili nina uhakika huwezi kupiga hata bao tatu ukitumia Ugoro pia hupoteza hamu ya kula, huaribu fizi pamoja na meno na hata mfumo wa chakula huaribika, kingine hutema mate kama una mimba changa, jambo ambalo si jema mbele za watu pia mla Ugoro hujitenga na watu wenye dili sababu hakuna mtu anayeweza kukupa dili na mimate unayotema.....babu kama ni wewe ama ni jamaa wa karibu aache hizo vitu...Afya itarudi na maji atakunywa
Duuh
 
Madhara mengine inaweza kukuletea vidonda vya tumbo,maana itakuwa inatengeneza gesi ndani ya tumbo.
 
Back
Top Bottom