Msaada niache pombe

Msaada niache pombe

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
586
Nimejikuta nikinywa pombe kila siku hasa ninapotoka home ,ndani hakukaliki hujikuta naenda bar.Naombeni msaada namna ya kuacha.
 
WE ENDELEA KUNYWA TUU utaacha automatizally mara baada ya kunywa pombe nyingi mara kwa mara alafu wale wauni wakikupumulia mara kadhaa hivi unaweza ukaacha(haha natania) other wise ukitaka kuacha SEMA POMBE BASI na ukiona bar assume umeona kituo cha polisi au ukiona bia ona kama sumu JIZUIE INAACHIKA
unatamani kuacha wakati bado unapenda kuwa ktk mazingira nanayo kushawishi kunywa pombe...tafuta kitu kingine kikukeep bize ..na kukusahaulisha pombe
 
jamani nifanyeje niache pombe nimefanya kila njia lakini naona nashindwa nkikaa wiki mbili tu kiu inakuja nalazima nkapige mbili tatu nifanyaje niache wadau
 
jamani nifanyeje niache pombe nimefanya kila njia lakini naona nashindwa nkikaa wiki mbili tu kiu inakuja nalazima nkapige mbili tatu nifanyaje niache wadau
Kwanini unataka kuacha?
 
Unakaa wiki mbili tatu alafu unakunywa vichupa 2 unasema una tatizo la pombe?!!! Acha utani mkuu
 
You can’t quit alcohol by going cold turkey.

Do it piecemeal overtime.

Eventually you’ll be able to quit it for good.
 
Mkuu unapenda kufa??? Bila shaka jibu ni hapana, sasa basi tafuta au muone daktari akushauri kuhusu dawa ambazo hazina madhara... Mfano wanasema kinga ni bora kuliko tiba, nunua dawa za malaria zile za kukaa siku saba then hamu ikija tu meza dawa...hiyo hamu itapotea sababu akili yako itajenga taswira ya jeneza pale ukigusa pombe. Hii hali ukiimanage kwa muda wa miezi mitatu hadi sita basi hongera umefanikiwa kuacha pombe

Yaaan itafutie sababu ya kumeza dawa tu, unless unataka kufa basi we piga tu mkuu
 
Nimejikuta nikinywa pombe kila siku hasa ninapotoka home ,ndani hakukaliki hujikuta naenda bar.Naombeni msaada namna ya kuacha.
Ukiwa unapata hamu.ya pombe jitahidi kua unakunywa mikojo ya samaki....au maziwa ya kuku....kama huna
Mwambie mkeo awe anakupa ukoko wa chai.....
Na uhakika lazma uache....

Usihadahike kuacha pombe..ni utashi wako....
Jitambue....jiwekee ratiba tight ..
Na kila ukitoka kazini nenda direct hom..


Mbata....weewe
 
Unakunywa pombe kwa pesa yako au ya mtu mwingine? Tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom