Ukiacha kazi kwa 24 hrs ndo hulipwi na badala yake wewe ndo unamlipa mwajiri mshahara wa mwezi mmoja.Ukiacha kazi kwa ukitoa notice ya mwezi mmoja unalipwa salary yako. Rejea Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004.
Ukiacha kazi kwa 24 hrs ndo hulipwi na badala yake wewe ndo unamlipa mwajiri mshahara wa mwezi mmoja.Ukiacha kazi kwa ukitoa notice ya mwezi mmoja unalipwa salary yako. Rejea Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004.
If this take place it will wage war against the ruling/decision of the High Court of Tanzania in EDEN MAEDA V. HOTEL AND LODGES (T) LTD, LABOUR DIVISION (2017).