Wakuu habari zenu?
Wakuu nimejichanga changa namimi natamani nivute chombo kimoja kati tajwa hapo juu.
Naomba maoni yenu kwa kuzingatia
1. Uimara
2. Upatikanaji wa vipuri
3. Ulaji wa mafuta
4. Iliyotulia barabarani
Sijawahi kuzitumia zote zaid ya kuziona kwa watu ila kutokana na mahitaji yangu nimeona zinanifaa kwa kua sina familia kubwa na sina safari za mikoani mara kwa mara.
Naomba kuwasilisha. Asante
Wakuu nimejichanga changa namimi natamani nivute chombo kimoja kati tajwa hapo juu.
Naomba maoni yenu kwa kuzingatia
1. Uimara
2. Upatikanaji wa vipuri
3. Ulaji wa mafuta
4. Iliyotulia barabarani
Sijawahi kuzitumia zote zaid ya kuziona kwa watu ila kutokana na mahitaji yangu nimeona zinanifaa kwa kua sina familia kubwa na sina safari za mikoani mara kwa mara.
Naomba kuwasilisha. Asante