Msaada: Nifanye mradi gani kwa mtaji wa Laki 2?

Msaada: Nifanye mradi gani kwa mtaji wa Laki 2?

Depretty

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2013
Posts
248
Reaction score
99
habari wanajf
mimi ni kijana wa kike umri 23,elimu yangu kidato cha 4,,nimejitahid kufanya vibarua vya hapa na pale na kuweza kusave kiasi cha pesa cha tsh 200,000...


kama swali linavyojieleza hapo juu kwamba naomba mnisaidie wazo kipi cha kuifanyia hicho kiasi cha pesa katika biashara au nikasome tu ujuzi wowote mfno upambaji wa ukumbi,saloonist????
nakaribisha mawazo ya biashara (japo kwa mim kama ni biashara basi nguo za mitumba ndo nna idea nayo)
pia nakarbisha wazo la kozi ya kusomea amabyo inafit kias cha pesa nilichonacho...
shukran
 
Unapatikana wapi mkuu? Kama hautajali naomba unitafute 0763797853 nikupe wazo huenda ukalifurahia
 
Unapatikana wapi mkuu? Kama hautajali naomba unitafute 0763797853 nikupe wazo huenda ukalifurahia
Mkuu unataka umkwapue hata hicho kidogo alichokipata kwa taabu!? Mpe ushauri usimtamani na pesa zake jamani.
 
habari wanajf
mimi ni kijana wa kike umri 23,elimu yangu kidato cha 4,,nimejitahid kufanya vibarua vya hapa na pale na kuweza kusave kiasi cha pesa cha tsh 200,000...


kama swali linavyojieleza hapo juu kwamba naomba mnisaidie wazo kipi cha kuifanyia hicho kiasi cha pesa katika biashara au nikasome tu ujuzi wowote mfno upambaji wa ukumbi,saloonist????
nakaribisha mawazo ya biashara (japo kwa mim kama ni biashara basi nguo za mitumba ndo nna idea nayo)
pia nakarbisha wazo la kozi ya kusomea amabyo inafit kias cha pesa nilichonacho...
shukran
Binti chunga sana kuna matapeli humu. Utajikuta wanakulamba wewe pamoja na hicho kidogo ulichokipata kwa taabu.
 
nunua mtumba za watoto za laki moja then zunguka na daftari ukizipitisha majumbani kwa watu ukikopesha na kuuza hyo laki nyingine lipa kozi ya upambaji huku ukifanya biz
 
Back
Top Bottom