Msaada:Nikinywa maji tumbo linauma sana.

Coke Zero

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2015
Posts
1,024
Reaction score
542
Habari za majukumu.
Tafadhali naomba msaada wa haraka,nikinywa maji tumbo langu linauma sana hali inayonipelekea nichukie kunywa maji,ninaweza nikakaa hata siku mbili bila kunywa maji ili niepukane na haya maumivu.
Tafadhali naombeni msaada.
 
Chemsha maji yawe uvuguvugu kisha unywe tuone je bado tumbo lako litauma? We usiache kunywa Maji ndio Uhai wako bora usile chakula kuliko kutokunywa Maji. Unachezea Uhai wako kwa kuto kunywa Maji shauri yako.
 
Kunywa bia, konyagi,. Ukikosa sana kunywa juice.
 
Chemsha maji yawe uvuguvugu kisha unywe tuone je bado tumbo lako litauma? We usiache kunywa Maji ndio Uhai wako bora usile chakula kuliko kutokunywa Maji. Unachezea Uhai wako kwa kuto kunywa Maji shauri yako.
Asante Mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…